
Hapa leo tumekusogezea njia na mahitaji muhimu unayoweza
kufanikisha hili. Kwanza kabisa taunze kuzifahamu hizi platform 2 yaani sound
cloud na audio mack.

UNAHITAJI YAFUATAYO ILI
UWEZE KUTENGENEZA PESA KATIKA PLATFORM HIZI:
Hapa unahitaji vifaa kadhaa kulingana na aina ya audio/ sauti
unazotaka kupakia (upload) kwenye hizi platform lakini kwa wanaotaka kupakia
miziki tu au sauti ambazo tayari zipo katika mfumo wa audio basi unapaswa kuwa
na vifaa vifuatavyo: computer, simu aina
ya smart phone, zaidi sana unahitaji kuwa na internet aidha iwe ya kuunga kwa bando za simu au rooter vyovyote
vile.

KAZI NA PESA ZINAANZIA
HAPA
Baada ya kuwa na haya yote kinachofata ni kufungua akaunti
katika moja ya platform hizi aidha soundcloud au audio mack, kisha utachagua
aina ya audio unazotaka kupakia (upload) huko unaweza kuchanganya au kuweka
miziki na nyimbo tu, ni wewe tu unavyaamua. Kuapload hizo audio na kuzipa
caption au majina utakavyo na mwisho kabisa ili upate hela tunairuhusu akaunti
yako iweze kukupa nafasiya wewe kulipwa kutokana na hizo kazi zako kwa maana ya
kuimonetize.
Endelea kubaki na gericmedia.com
ili tuzifanye hatua tajwa hapo juu kwa pamoja katika machapisho yajayo. Jisajili
kwa kuweka email yako ili uweze kupata kila chapisho linapowekwa hapa. Kwa maswali,
ushauri au maoni wasiliana nasi kwa simu/text/whatsApp: 0743536577 au barua
pepe: gericml@gmail.com
PESA ZIKO HAPA (SOUND CLOUD) (Part 2)
Reviewed by DjGeric
on
October 24, 2018
Rating:

No comments: